Kubadili akina kaka/dada kama nguo sio sifa, ni Upumbavu. Kuwavulia watu ovyo si ujanja, ni ulofa uliopitiliza. Si Mungu na jamii tu wanaokerwa na Ubwege huo. Hata Shetani anakushangaa maana Unakaribia kumpiku. Kujitunza si kwa akina dada tu na wa kaka pia
Mafundisho
SEX BEFORE MARRIAGE
#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo