HEKIMA YA LEO [01-02-2017]


1. Uthibitisho pekee kwamba unaamini kitu fulani au jambo Fulani ni pale unapotenda. Pasipo na utendaji hapana Imani.
2. Unaweza kusikia jumbe nzuri zenye kuhamasisha na kusisimua, lakini utakiishi kile ulichokiamini tu na sio ulichokisikia.
3. Tunasikia Mengi, tunajifunza mengi, lakini wengi hatuna muda wa kuyachakata yajenge imani ndani yetu. Kwa hiyo tuna maarifa bila Imani, hivyo tunakosa matokeo.
4. Mwenye haki anaishi kwa imani yake. Utaishi na kutenda kulingana na kiwango cha imani yako. Lile usiloliamini huwezi kulitimiza.
5. Nini unaamini? Itakuwa kwako kulingana na imani yako. Bila imani, maarifa yote unayopata yataishia kuwa kibirudisho tu.
IMANI YAKO, MAISHA YAKO!
_For Me, My Future & My World!_
Bro. Emmanuel Mahenge 
0714 530 295 
emmastiv@yahoo.co.uk

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »