HEKIMA YA LEO [01-02-2017]


1. Uthibitisho pekee kwamba unaamini kitu fulani au jambo Fulani ni pale unapotenda. Pasipo na utendaji hapana Imani.
2. Unaweza kusikia jumbe nzuri zenye kuhamasisha na kusisimua, lakini utakiishi kile ulichokiamini tu na sio ulichokisikia.
3. Tunasikia Mengi, tunajifunza mengi, lakini wengi hatuna muda wa kuyachakata yajenge imani ndani yetu. Kwa hiyo tuna maarifa bila Imani, hivyo tunakosa matokeo.
4. Mwenye haki anaishi kwa imani yake. Utaishi na kutenda kulingana na kiwango cha imani yako. Lile usiloliamini huwezi kulitimiza.
5. Nini unaamini? Itakuwa kwako kulingana na imani yako. Bila imani, maarifa yote unayopata yataishia kuwa kibirudisho tu.
IMANI YAKO, MAISHA YAKO!
_For Me, My Future & My World!_
Bro. Emmanuel Mahenge 
0714 530 295 
emmastiv@yahoo.co.uk

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »