HEKIMA YA LEO [03-04-2017]

  • ILI KUWEKEZA VIZURI MAISHA YAKO (1)
    1. Tambua kuwa unapaswa kuwekeza Maisha
  • Tumepewa nafasi ya kuishi ili tuwekeze au tuitumie vizuri. Ni nafasi ambayo huja mara moja tu, ikiondoka hairudi tena.
  • Muda wa kuishi si muda wa kuchezea, ni muda wa kuwekeza mahali panapostahili kwa ajili ya Mungu na kwa ajili ya watu.
  • Maisha yetu yanapaswa kuleta faida na si hasara. Tunapaswa kufurahiwa na si kujutiwa.
  • Maisha ni fursa, ni nafasi ya upendeleo, hatupaswi kuichukulia kiwepesi tu.
  • Tumekuja duniani na hazina za kutosha ndani yetu, tunapaswa kuzitumia ili kuzalisha na kuleta manufaa duniani.
    WEKEZA MAISHA

 

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »