HEKIMA YA LEO [03-04-2017]

  • ILI KUWEKEZA VIZURI MAISHA YAKO (1)
    1. Tambua kuwa unapaswa kuwekeza Maisha
  • Tumepewa nafasi ya kuishi ili tuwekeze au tuitumie vizuri. Ni nafasi ambayo huja mara moja tu, ikiondoka hairudi tena.
  • Muda wa kuishi si muda wa kuchezea, ni muda wa kuwekeza mahali panapostahili kwa ajili ya Mungu na kwa ajili ya watu.
  • Maisha yetu yanapaswa kuleta faida na si hasara. Tunapaswa kufurahiwa na si kujutiwa.
  • Maisha ni fursa, ni nafasi ya upendeleo, hatupaswi kuichukulia kiwepesi tu.
  • Tumekuja duniani na hazina za kutosha ndani yetu, tunapaswa kuzitumia ili kuzalisha na kuleta manufaa duniani.
    WEKEZA MAISHA

 

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »