HEKIMA YA LEO [03-04-2017]

  • ILI KUWEKEZA VIZURI MAISHA YAKO (1)
    1. Tambua kuwa unapaswa kuwekeza Maisha
  • Tumepewa nafasi ya kuishi ili tuwekeze au tuitumie vizuri. Ni nafasi ambayo huja mara moja tu, ikiondoka hairudi tena.
  • Muda wa kuishi si muda wa kuchezea, ni muda wa kuwekeza mahali panapostahili kwa ajili ya Mungu na kwa ajili ya watu.
  • Maisha yetu yanapaswa kuleta faida na si hasara. Tunapaswa kufurahiwa na si kujutiwa.
  • Maisha ni fursa, ni nafasi ya upendeleo, hatupaswi kuichukulia kiwepesi tu.
  • Tumekuja duniani na hazina za kutosha ndani yetu, tunapaswa kuzitumia ili kuzalisha na kuleta manufaa duniani.
    WEKEZA MAISHA

 

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »