Imani,muda,majira

https://i0.wp.com/3wymkl3lkak82e1u8f2n3nqvtoy.wpengine.netdna-cdn.com/wp-content/uploads/2014/01/Devils-Pool.png?resize=432%2C288
Imani,majira

“Kwenye Ulimwengu Wa Mwili, Majira (Misimu) Inaamuliwa Na Muda; Lakini Kwenye Ulimwengu Wa Roho, Imani Inaweza Kubadili Msimu Hata Kama Muda Wake Katika Ulimwengu Wa Mwili Bado. Imani Inaweza Kusababisha Mvua Inyeshe Wakati Wa Majira Ya Kiangazi, Bila Kujali Kwamba Muda Wake Halisi Bado”
Muda Ni Wa Muhimu Kwenye Maisha Ya Mwanadamu Ila Imani Ni Ya Muhimu Zaidi Kuliko Muda Maana Imani [Ndani Ya Mungu] Ndiyo Iliyoumba Muda [Mwanzo, Mwisho, Majira Na Nyakati]”
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »