Imani,muda,majira

https://i0.wp.com/3wymkl3lkak82e1u8f2n3nqvtoy.wpengine.netdna-cdn.com/wp-content/uploads/2014/01/Devils-Pool.png?resize=432%2C288
Imani,majira

“Kwenye Ulimwengu Wa Mwili, Majira (Misimu) Inaamuliwa Na Muda; Lakini Kwenye Ulimwengu Wa Roho, Imani Inaweza Kubadili Msimu Hata Kama Muda Wake Katika Ulimwengu Wa Mwili Bado. Imani Inaweza Kusababisha Mvua Inyeshe Wakati Wa Majira Ya Kiangazi, Bila Kujali Kwamba Muda Wake Halisi Bado”
Muda Ni Wa Muhimu Kwenye Maisha Ya Mwanadamu Ila Imani Ni Ya Muhimu Zaidi Kuliko Muda Maana Imani [Ndani Ya Mungu] Ndiyo Iliyoumba Muda [Mwanzo, Mwisho, Majira Na Nyakati]”
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »