Neno la Mungu Halipo kwa ajili ya Majaribio

Neno la Mungu

Kwenye FALSAFA Za Maisha Wanasema, “UKIJARIBU KUFANYA JAMBO LOLOTE UNAKUWA NA NAFASI YA KUPATA MOJA KATI YA MATOKEO MAWILI; Kufanikiwa Au Kushindwa. NA KAMA USIPOJARIBU UNAKUWA NA MATOKEO YA AINA MOJA TU; Kushindwa”
Kwenye NENO LA MUNGU Hiyo Kanuni HAIFANYI KAZI; Ime-prove failure… “UKIJARIBU KUTENDA KILE AMBACHO NENO LA MUNGU LINASEMA, NI SAWA NA KUTOTENDA KABISA, UTAPATA MATOKEO YA AINA MOJA TU; Kushindwa”
KWANINI?
NENO LA MUNGU HALIPO KWA AJILI YA MAJARIBIO… LIPO KWA AJILI YA UTENDAJI… WANAOJARIBU KUFANYA, SIKU ZOTE HAWATAPATA, MAANA HAWANA IMANI YA 100% Kwenye Kile Wanachofanya… Maana HAWATENDI Bali WANAJARIBU!
Je Hiki Ni Chakula Kigumu?

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »