Ufalme wa Mungu

“Jua na kuelewa nafasi yako uliyopata katika Ufalme wa Mungu, kama Uzao mteule, Mtu wa Milki ya Mungu na Kuhani na Mfalme chini ya Mfalme wa Wafalme, Mtu wa nyumbani kwa Mungu, Uliyehamishwa toka gizani na kuingizwa katika Ufalme wa Mwana mpenzi wa Mungu HALAFU Shetani na Kila nguvu yake ya giza haitakusogelea maana wewe ni NURU NA UKO SERIKALI TOFAUTI NA YAKE, Hawezi kukufanya chochote mpaka wewe UMPE NAFASI kwa kupitia mlango wa dhambi au KUKOSA MAARIFA”
Maandiko ya kujisomea:
1Petro 2:9-10, Wakolosai 1:13, Ufunuo 5:8-9, Waefeso 2:19.

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »