Ukisema Maneno chanya (Imani)

maneno chanya

Ukisema MANENO CHANYA NA MANENO YA IMANI: Unamuweka Mungu Na Malaika Zake Kazini Ili Kukusaidia Na Kuthibitisha Hayo Uliyosema.
Ukisema MANENO HASI NA YA MASHAKA: Unampa Ibilisi Nafasi Yeye Na Watenda Kazi Wake Wakumalize Na Kutimiza Kila UHARIBIFU “ULIOTABIRI JUU YAKO KWA KINYWA CHAKO NA IMANI YAKO HASI”
“Tumbo La Mtu Litashiba Matunda Ya Kinywa Chake; Uwezo Wa Mauti Na Uzima Vipo Katika Ulimi Wa Mtu, Nao Waupendao Watakula Matunda Yake” (Mithali 18:20-21).
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »