“Kama unaamini jina lako limeandikwa kwenye kitabu cha uzima, na haujawahi kufika mbinguni na kukagua lipo au halipo, UMEAMINI KWA NENO LA MUNGU, Kwanini usiamini kwenye AFYA YA KIUNGU (kutougua kamwe, kwa sababu uliponywa tangu Kalvari, miaka zaidi ya 2000 iliyopita, 1Petro 2:24, Isaya 35:8-10) Maana hiyo inaweza kupimwa hapa hapa duniani… KAMA NENO LINASEMA TULISHAPONYWA, UNAKUBALIJE KUKAA NA MAGONJWA? HUAMINI YA KUWA YESU ALIKOMESHA UTAWALA WA MAGONJWA KAMA ALIVYOKOMESHA UTAWALA WA DHAMBI? Nikuache UTAFAKARI…”
KWA WAOAJI TU
“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA