Unakubalije kuwa mgonjwa

https://i0.wp.com/maxpixel.freegreatpicture.com/static/photo/1x/Disease-Africa-Sick-Poverty-Young-Face-Sadness-1783794.jpg?resize=844%2C635“Kama unaamini jina lako limeandikwa kwenye kitabu cha uzima, na haujawahi kufika mbinguni na kukagua lipo au halipo, UMEAMINI KWA NENO LA MUNGU, Kwanini usiamini kwenye AFYA YA KIUNGU (kutougua kamwe, kwa sababu uliponywa tangu Kalvari, miaka zaidi ya 2000 iliyopita, 1Petro 2:24, Isaya 35:8-10) Maana hiyo inaweza kupimwa hapa hapa duniani… KAMA NENO LINASEMA TULISHAPONYWA, UNAKUBALIJE KUKAA NA MAGONJWA? HUAMINI YA KUWA YESU ALIKOMESHA UTAWALA WA MAGONJWA KAMA ALIVYOKOMESHA UTAWALA WA DHAMBI? Nikuache UTAFAKARI…”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »