Unakubalije kuwa mgonjwa

https://i0.wp.com/maxpixel.freegreatpicture.com/static/photo/1x/Disease-Africa-Sick-Poverty-Young-Face-Sadness-1783794.jpg?resize=844%2C635“Kama unaamini jina lako limeandikwa kwenye kitabu cha uzima, na haujawahi kufika mbinguni na kukagua lipo au halipo, UMEAMINI KWA NENO LA MUNGU, Kwanini usiamini kwenye AFYA YA KIUNGU (kutougua kamwe, kwa sababu uliponywa tangu Kalvari, miaka zaidi ya 2000 iliyopita, 1Petro 2:24, Isaya 35:8-10) Maana hiyo inaweza kupimwa hapa hapa duniani… KAMA NENO LINASEMA TULISHAPONYWA, UNAKUBALIJE KUKAA NA MAGONJWA? HUAMINI YA KUWA YESU ALIKOMESHA UTAWALA WA MAGONJWA KAMA ALIVYOKOMESHA UTAWALA WA DHAMBI? Nikuache UTAFAKARI…”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »