Formula ya Kimungu

https://i0.wp.com/i.ytimg.com/vi/LDHEGmGxVyM/maxresdefault.jpg?w=1200&ssl=1“Mimi nikiona mtu anaajiri, ana biashara, maduka, anafuga, ana eka kadhaa analimisha, kinachokuja moyoni kwangu haraka ni KAMA HUYU AMEWEZA NA HAKUZALIWA NAVYO, YEYOTE PIA ANAWEZA KUVIPATA NA AKAMPITA. Ila watu wengi ambao AKILI ZIMEFUNGWA utawasikia wakisema, HUYU FISADI, NI FREEMASON, KAMTOA MTOTO WAKE, NI DHULUMA nakadhalika, NA KWA KUFANYA HIVI, MUNGU ANAWANYANG’ANYA WAO WASIJEKUWA NAVYO ILI WAKAPATA MAUMIVU NA UCHUNGU WA KUSEMWA NA KUTUKANWA KAMA WAO WANAVYOFANYA. Usipojifunza kuwakubali na kuwasema vizuri waliokuzidi na kukutangulia KIUCHUMI, Mungu hataruhusu uwafikie au kuwapita. APENDAYE MAISHA NA KUWA NA SIKU NYINGI NA AUZUIE ULIMI WAKE USINENE HILA”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »