Formula ya Kimungu

https://i0.wp.com/i.ytimg.com/vi/LDHEGmGxVyM/maxresdefault.jpg?w=1200&ssl=1“Mimi nikiona mtu anaajiri, ana biashara, maduka, anafuga, ana eka kadhaa analimisha, kinachokuja moyoni kwangu haraka ni KAMA HUYU AMEWEZA NA HAKUZALIWA NAVYO, YEYOTE PIA ANAWEZA KUVIPATA NA AKAMPITA. Ila watu wengi ambao AKILI ZIMEFUNGWA utawasikia wakisema, HUYU FISADI, NI FREEMASON, KAMTOA MTOTO WAKE, NI DHULUMA nakadhalika, NA KWA KUFANYA HIVI, MUNGU ANAWANYANG’ANYA WAO WASIJEKUWA NAVYO ILI WAKAPATA MAUMIVU NA UCHUNGU WA KUSEMWA NA KUTUKANWA KAMA WAO WANAVYOFANYA. Usipojifunza kuwakubali na kuwasema vizuri waliokuzidi na kukutangulia KIUCHUMI, Mungu hataruhusu uwafikie au kuwapita. APENDAYE MAISHA NA KUWA NA SIKU NYINGI NA AUZUIE ULIMI WAKE USINENE HILA”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »