Hatua moja kwenda nyingine

“Kila mtu ALIYEOKOKA halafu ANALISOMA NENO na pia ni MWOMBAJI, hawezi KUFELI KWENYE MAISHA, anaweza ASIMSIKIE MUNGU KWA SAUTI KUUUUBWA lakini NDANI YAKE ANAWEKEWA MAWAZO NA MUNGU YA NINI CHA KUFANYA ILI KUTOKA LEVEL MOJA HADI NYINGINE… Binafsi, 90% YA NILICHOFANYA HADI SASA NI KWA NJIA YA MAWAZO ANAYONIPA MUNGU wakati wa maombi au baada, wakati wa kusoma au kusikiliza Neno, vitabu vya watumishi wa Mungu, wakati wa utulivu na hata nikiwa kwenye kusanyiko au kelele… 10% pekee ndio Mungu kasema nami kwa NDOTO NA MAONO NA SAUTI KUBWA… MAWAZO YA MTU ALIYEGEUZWA NAFSI YAKE NA KUFANYWA UPYA NI KIWANDA CHA KUPITISHIA MAWAZO MEMA NA YA AMANI ALIYONAYO MUNGU KWA AJILI YETU…”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »