HEKIMA KUHUSU PESA

 

Mambo ya kuepuka

http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg
1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka.
“Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu… Lakini pia mkono wa Mungu hauko juu yake, siwezi kupoteza pesa yangu mahali ambako najua Mungu hataweka mkono wake kuizidisha”

2. Kumkopesha PESA mtu ambaye “ANACHEZEA MUDA” au ambaye hajali muda!
“Asiyejali muda hajali pesa pia… Pesa inapenda kukaa kwenye mikono ya wanaotunza muda kuliko pesa…. Pesa hufuata mifuko ya akili iliyofuzu kutunza muda… Mtu ambaye hana matumizi yanayoeleweka ya muda, na asiye na ratiba ambazo haziingiliwi au kuvurugwa kirahisi, usimkopeshe pesa, tayari umeshaona wazi uwezo wake wa kujali vitu vya muhimu na bora kama muda ni sifuri”
Hekima kwa ajili ya kutunza pesa (sehemu ya kwanza)!
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »