HEKIMA KUHUSU PESA

 

Mambo ya kuepuka

http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg
1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka.
“Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu… Lakini pia mkono wa Mungu hauko juu yake, siwezi kupoteza pesa yangu mahali ambako najua Mungu hataweka mkono wake kuizidisha”

2. Kumkopesha PESA mtu ambaye “ANACHEZEA MUDA” au ambaye hajali muda!
“Asiyejali muda hajali pesa pia… Pesa inapenda kukaa kwenye mikono ya wanaotunza muda kuliko pesa…. Pesa hufuata mifuko ya akili iliyofuzu kutunza muda… Mtu ambaye hana matumizi yanayoeleweka ya muda, na asiye na ratiba ambazo haziingiliwi au kuvurugwa kirahisi, usimkopeshe pesa, tayari umeshaona wazi uwezo wake wa kujali vitu vya muhimu na bora kama muda ni sifuri”
Hekima kwa ajili ya kutunza pesa (sehemu ya kwanza)!
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »