Mambo ya kuepuka
http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg
1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka.
“Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu… Lakini pia mkono wa Mungu hauko juu yake, siwezi kupoteza pesa yangu mahali ambako najua Mungu hataweka mkono wake kuizidisha”
2. Kumkopesha PESA mtu ambaye “ANACHEZEA MUDA” au ambaye hajali muda!
“Asiyejali muda hajali pesa pia… Pesa inapenda kukaa kwenye mikono ya wanaotunza muda kuliko pesa…. Pesa hufuata mifuko ya akili iliyofuzu kutunza muda… Mtu ambaye hana matumizi yanayoeleweka ya muda, na asiye na ratiba ambazo haziingiliwi au kuvurugwa kirahisi, usimkopeshe pesa, tayari umeshaona wazi uwezo wake wa kujali vitu vya muhimu na bora kama muda ni sifuri”
Hekima kwa ajili ya kutunza pesa (sehemu ya kwanza)!
“Asiyejali muda hajali pesa pia… Pesa inapenda kukaa kwenye mikono ya wanaotunza muda kuliko pesa…. Pesa hufuata mifuko ya akili iliyofuzu kutunza muda… Mtu ambaye hana matumizi yanayoeleweka ya muda, na asiye na ratiba ambazo haziingiliwi au kuvurugwa kirahisi, usimkopeshe pesa, tayari umeshaona wazi uwezo wake wa kujali vitu vya muhimu na bora kama muda ni sifuri”
Hekima kwa ajili ya kutunza pesa (sehemu ya kwanza)!