HEKIMA KUHUSU PESA

 

Mambo ya kuepuka

http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg
1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka.
“Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu… Lakini pia mkono wa Mungu hauko juu yake, siwezi kupoteza pesa yangu mahali ambako najua Mungu hataweka mkono wake kuizidisha”

2. Kumkopesha PESA mtu ambaye “ANACHEZEA MUDA” au ambaye hajali muda!
“Asiyejali muda hajali pesa pia… Pesa inapenda kukaa kwenye mikono ya wanaotunza muda kuliko pesa…. Pesa hufuata mifuko ya akili iliyofuzu kutunza muda… Mtu ambaye hana matumizi yanayoeleweka ya muda, na asiye na ratiba ambazo haziingiliwi au kuvurugwa kirahisi, usimkopeshe pesa, tayari umeshaona wazi uwezo wake wa kujali vitu vya muhimu na bora kama muda ni sifuri”
Hekima kwa ajili ya kutunza pesa (sehemu ya kwanza)!
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »