MAISHA MATAKATIFU Ni HATUA YA KUZALISHA MTAJI SOKONI,
KUINGIA MBINGUNI Ni MATOKEO [FAIDA] YA UZALISHAJI WA MTAJI [WOKOVU]!
Si Kila Mwenye MTAJI Atapata FAIDA Kwenye Biashara, Inategemea Umahiri Wake Kwenye UZALISHAJI MTAJI.
KUOKOKA NI MWANZO, UTAKATIFU NI MCHAKATO WA KUUISHI HUO WOKOVU [Asili Mpya Ya Mungu Ndani Yako] Kwa Msaada Wa ROHO MTAKATIFU [Kama Mkaguzi] Ili Mwisho Wa Siku Upate FAIDA [Uione Mbingu]!
Wewe Ringa Na Mtaji, Acha Kuuzalisha Halafu Tuone Kama Utapata Faida… KUOKOKA TU HAKUTOSHI, LABDA UOKOKE KISHA UFE HAPOHAPO!
Ila USIPOKUFA MARA TU BAADA YA KUOKOKA, Una Kazi Kubwa Ya KUZAA MATUNDA YAPASAYO TOBA Na KILA TAWI LISILOZAA LITAKATWA NA KUTUPWA MOTONI BILA KUJALI KWAMBA LILIWAHI KUWA SEHEMU YA MZABIBU UITWAO YESU!
We Ng’aa Macho Tu Halafu Tukifika Kule Juu Utakumbuka Ujumbe Huu; WOKOVU NI MATENDO, NI KUWA NURU NA CHUMVI, BILA KUJALI KUNA ANAYEKUONA, ANAYEKUJUA AU LA!
#ROHO_ANENA_WAZIWAZI
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com
+255 655 466 675
+255 753 466 675
MFUNGO WA SIKU 10,MASAA 12 -APRIL [SIKU YA 10]
KUISHI NJE YA UKANDA WA IBILISI (LIVING BEYOND DEVILS REACH) Ninasikia kuhusu maombi ya vita. Ni maombi maarufu ya kupigana na Ibilisi na majeshi yake.