Kuokoka ni Mtaji wa Kwenda Mbinguni


MAISHA MATAKATIFU Ni HATUA YA KUZALISHA MTAJI SOKONI,
KUINGIA MBINGUNI Ni MATOKEO [FAIDA] YA UZALISHAJI WA MTAJI [WOKOVU]!
Si Kila Mwenye MTAJI Atapata FAIDA Kwenye Biashara, Inategemea Umahiri Wake Kwenye UZALISHAJI MTAJI.
KUOKOKA NI MWANZO, UTAKATIFU NI MCHAKATO WA KUUISHI HUO WOKOVU [Asili Mpya Ya Mungu Ndani Yako] Kwa Msaada Wa ROHO MTAKATIFU [Kama Mkaguzi] Ili Mwisho Wa Siku Upate FAIDA [Uione Mbingu]!
Wewe Ringa Na Mtaji, Acha Kuuzalisha Halafu Tuone Kama Utapata Faida… KUOKOKA TU HAKUTOSHI, LABDA UOKOKE KISHA UFE HAPOHAPO!
Ila USIPOKUFA MARA TU BAADA YA KUOKOKA, Una Kazi Kubwa Ya KUZAA MATUNDA YAPASAYO TOBA Na KILA TAWI LISILOZAA LITAKATWA NA KUTUPWA MOTONI BILA KUJALI KWAMBA LILIWAHI KUWA SEHEMU YA MZABIBU UITWAO YESU!
We Ng’aa Macho Tu Halafu Tukifika Kule Juu Utakumbuka Ujumbe Huu; WOKOVU NI MATENDO, NI KUWA NURU NA CHUMVI, BILA KUJALI KUNA ANAYEKUONA, ANAYEKUJUA AU LA!
#ROHO_ANENA_WAZIWAZI
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com
+255 655 466 675
+255 753 466 675

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »