Kati ya Tabia ambazo shetani na Mapepo
Kati Ya Tabia Ambazo SHETANI NA MAPEPO Wanazo Ni “KUTOJUA WAPI WANAKWENDA” Yaani Wao “KILA NJIA INAYOTOKEA MBELE YAO NI NJIA SAHIHI, WANAIFUATA” Yaani Hawana
Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.
Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.
Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.
Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.
Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.
Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..
Kati Ya Tabia Ambazo SHETANI NA MAPEPO Wanazo Ni “KUTOJUA WAPI WANAKWENDA” Yaani Wao “KILA NJIA INAYOTOKEA MBELE YAO NI NJIA SAHIHI, WANAIFUATA” Yaani Hawana
Yesu Kristo Yuko NDANI YANGU, Amejaa Kwenye ROHO YANGU Ili NIWE IBADA NA DHABIHU KWA MUNGU Peke Yake… Yesu Kristo Amejaa Kwenye NAFSI YANGU Ili
Kuna zile MESEJI ZA MIZAHA kwenye MITANDAO zinazosema, “Shetani akikuona unashika BIBLIA anaumwa na kichwa, akikuona unafungua na kuanza kusoma ANACHANGANYIKIWA NA KUZIMIA. Jitahidi kila
ILI KUWEKEZA VIZURI MAISHA YAKO (1) 1. Tambua kuwa unapaswa kuwekeza Maisha Tumepewa nafasi ya kuishi ili tuwekeze au tuitumie vizuri. Ni nafasi ambayo huja
UISHI NJE YA UKANDA WA IBILISI (LIVING BEYOND DEVILS REACH) Utangulizi Ninasikia kuhusu maombi ya vita. Ni maombi maarufu ya kupigana na Ibilisi na majeshi
Kati ya kauli wanazotumia Wakristo wengi ni “SHETANI AMEJIINUA mambo yakaharibika nk” lakini Biblia inasema ‘SHETANI YUKO CHINI YA MIGUU YETU’…AKIJIINUA, ANAKUINUA WEWE ZAIDI. Kawaulize
“Tatizo sio giza. Tatizo ni mdomo wako. Acha kukaa kimya. Acha kuzungumza kuhusu giza na madhara yake. Sema kama Mungu; NA IWE NURU. Na itakuwa.
; USILE KILA KITU UPATAPO TOKA KWA BWANA! Kosa Kubwa Wanalofanya Wana Wa Mungu, Hasa Wale Waliookoka, Wanaoishi Kwa Imani, Ni Kutojua Kuwa Mungu Huwa
KANUNI YA MUDA/WAKATI (THE PRINCIPLE OF TIME). Utangulizi. Maisha ni muda, na muda ni maisha! Hakuna maisha bila muda, maisha ya mtu au kitu yamefungwa
Mambo ya kuepuka http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg 1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka. “Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu…
“Ukiuzika uongo utaoza na utasahaulika milele … Lakini ukiuzika Ukweli, ni sawa na kujaribu kuzika mbegu isiyoharibika. Siku moja utachomoza nje toka ulikouficha na utaharibu
Upako Unaweza Kukaa Kwenye Kitu Chochote Chenye Umbo Linaloeleweka [Physical Structure]… Unaweza Kukaa: -Kwenye MIFUPA YA NABII ALIYEKUFA ELISHA Kiasi Cha Kuweza Kufufua Maiti -Kwenye
USIIGIZE WALA USIWADANGANYE WATU KWAMBA UNA UWEZO MKUBWA WA KIFEDHA/ UMEBARIKIWA MALI NA VITU ILHALI UNAWAPIGA MIZINGA NA VIBOMU KUPITIA MBEGU NA SADAKA ZA AJABU
“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”
“I like your Christ, but not your Christianity.” – Gandhi Christ vs Christianity
Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa
Mafundisho yaliyomo
Shuhuda zilizotolewa
Wasomaji wafutiliaji
Miaka kwenye huduma