Njoo Tumtumikie Mungu Pamoja Katika Kizazi Chetu
(KAMA UMEOKOKA TAFADHALI SOMA UJUMBE HUU WA MUHIMU). Nimemwomba BWANA “HEKIMA” Ya Kujua “YUPI NI SAHIHI NA SI SAHIHI” Katika Maono Niliyonayo Ya “KUWALETA WENGI
Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.
Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.
Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.
Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.
Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.
Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..
(KAMA UMEOKOKA TAFADHALI SOMA UJUMBE HUU WA MUHIMU). Nimemwomba BWANA “HEKIMA” Ya Kujua “YUPI NI SAHIHI NA SI SAHIHI” Katika Maono Niliyonayo Ya “KUWALETA WENGI
Kama NENO LA MUNGU halitendi kazi kwako itakuwa ni kwa sababu mojawapo kati ya hizi; 1.Hauna uhusiano na ushirika wa dhati na Mungu ila unataka
Kila MKRISTO Anataka Pale Yesu Atakapokuwa Na Yeye Awepo Kila Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Na Mwaka! Yaani Kila Mmoja Wetu Anataka Akae Kwenye
“Kwenye Ulimwengu Wa Mwili, Majira (Misimu) Inaamuliwa Na Muda; Lakini Kwenye Ulimwengu Wa Roho, Imani Inaweza Kubadili Msimu Hata Kama Muda Wake Katika Ulimwengu Wa
27/01/2016. “NGUVU YA SHUHUDA (THE POWER OF TESTIMONS)” “Nao wakamshinda kwa damu ya Mwanakondoo, na kwa NENO LA USHUHUDA WAO…” (Ufunuo 12:11). Watu wengi hawajui
***IMAGINE*** You Are Full Of Christ To The Extent That: 1.When The Mosqueto Stings You, Falls Down And Die Or You Become Repealing To Them.
NGUVU ZA KUKABILI HALI ZA KIFO (POWER TO HANDLE DEADLY SITUATIONS). Utangulizi; Kwenye maisha kuna hali ambazo zimekaa kama kifo, au ukizubaa zinaweza kupelekea kifo
“Kama unaamini jina lako limeandikwa kwenye kitabu cha uzima, na haujawahi kufika mbinguni na kukagua lipo au halipo, UMEAMINI KWA NENO LA MUNGU, Kwanini usiamini
NGUVU YA KUCHUKUA HATUA (THE POWER OF TAKING A STEP)! Maandiko: “Wakati HATUA ZANGU zilipokuwa zikioshwa kwa siagi, Nalo jabali lilipomimina mito ya maziwa” (Ayubu
Hivi utakuwa mwaminifu hata kama ukikutana na traffic na unaendesha gari huku umesahau leseni home, traffic anataka sh 2000 tu Rushwa akuachie au utamwambia mwende
“Mungu yuko kwenye program ya kuijaza mbingu kwa watu wa kila taifa, kila kabila, kila rangi, wasomi na wasio na elimu, matajiri na masikini… Jitahidi
Kati ya KANUNI muhimu za MAISHA YA IMANI ni kukubali kuwa kama MTOTO MDOGO. Tofauti na hapo UTAZIKOSA BARAKA, FAIDA NA UPENDELEO unaotoka kwenye UFALME
USIIGIZE WALA USIWADANGANYE WATU KWAMBA UNA UWEZO MKUBWA WA KIFEDHA/ UMEBARIKIWA MALI NA VITU ILHALI UNAWAPIGA MIZINGA NA VIBOMU KUPITIA MBEGU NA SADAKA ZA AJABU
“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”
“I like your Christ, but not your Christianity.” – Gandhi Christ vs Christianity
Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa
Mafundisho yaliyomo
Shuhuda zilizotolewa
Wasomaji wafutiliaji
Miaka kwenye huduma