Karibu tovuti yetu

Yesu ni Bwana

Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.

Kuhusu Yesu ni Bwana

Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.

Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.

Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.

Mada muhimu

Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano  ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.

Mafundisho yetu

Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..

Kwa sasa

Mafundisho Mapya

VIJANA WENZANGU KWENYE HUDUMA

VIJANA WENZANGU KWENYE HUDUMA NI NANI ALIYEKUTENGENEZA ILI UONGOZE/ UTAWALE/ UWE NA MATOKEO KWENYE ENEO LAKO? ANDIKO NANGA Kutoka 2:14 [14]Yule akasema, Ni nani aliyekuweka

WHY IS IT IMPORTANT TO GROW SPIRITUALLY?

ASSEMBLY OF BELIEVERS CHURCH UBUNGO MSEWE.SUNDAY SCHOOL SERVICEWHY IS IT IMPORTANT TO GROW SPIRITUALLY?Min: Pastor Jordan YusuphSun 28th April 2024. Anchor scripture;‭1 Corinthians 13:11When I

956

Mafundisho yaliyomo

26

Shuhuda zilizotolewa

3,000

Wasomaji wafutiliaji

8

Miaka kwenye huduma