Wokovu hapa Duniani
“Si misumari iliyomshikilia Yesu Kristo msalabani bali UPENDO wake mkuu kwa mtenda dhambi mimi na mtenda dhambi wewe tupate WOKOVU hapa duniani sasa na kisha
Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.
Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.
Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.
Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.
Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.
Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..
“Si misumari iliyomshikilia Yesu Kristo msalabani bali UPENDO wake mkuu kwa mtenda dhambi mimi na mtenda dhambi wewe tupate WOKOVU hapa duniani sasa na kisha
Mungu akiangalia hapa duniani, anaona vituko, anawaona wanae (tulionunuliwa kwa damu ya thamani ya Yesu) tunaishi maisha chini ya kiwango. Anashangaa kwanini hatuna tofauti na
“Mungu Hajakuruhusu UTENDE DHAMBI Ila HATAINGILIA UAMUZI WAKO UKIAMUA KUTENDA DHAMBI… Vivyo Hivyo, Mungu Hapendi UENDE JEHANAMU Lakini HATAKUZUIA KWENDA HUKO Endapo Hautachukua Uamuzi Wa
Hii ni asilimia kumi ya mapato yako yote kutoka shughuli zako za uzalishaji; kilimo, ufugaji, ajira, biashara nakadhalika. Hii Mungu amesema wazi inatolewa kwa walawi
Mchungaji & Mwalimu Dickson Cornel Kabigumila SIKU YA PILI: 20/02/2019 KANUNI YA ULICHONACHO (THE PRINCIPLE OF WHAT YOU HAVE). Utangulizi Maisha ni mchezo wa
“Vyote Unavyoviona Leo VILIKUWEMO NDANI YA ADAMU Japo Adamu Hakupata Nafasi Kuviona… Ndani ya Adamu Ndiko Walikokuwa WANADAMU WOTE Ambao Wamekuja KUBUNI, KUTENGENEZA NA KUFANYA
NIMESHARE ILI UJIFUNZE MAMBO KADHAA; i) Majukumu ya baba wa kiroho ii) Namna baba wa kiroho anayejua wajibu wake anavyoweza kukusaidia kuwa bora kila siku
SABABU YA KWANZA “UKIMWI NI UPUNGUFU TU WA KINGA MWILINI NA YESU ANAWEZA KUZIONGEZA” Kitaalamu, UKIMWI ni kifupi cha maneno UPUNGUFU WA KINGA
“UPAKO WA KUFANYA ZAIDI YA WENGINE” “Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, na kuteswa mengi kwa mikono ya matabibu
“Ukikosa Mbinguni Hautakosa Kuzimu” (Ufunuo 20:15) “Kama Hauishi Maisha Ya Utakaso, Umechagua Ya Dhambi” (Ufunuo 22:11-16) “Kama Haujilindi Na Dhambi Ni Wazi Hujazaliwa
Kuna Tofauti KUBWA SANA Kati Ya Kuimba WIMBO Wa Kusifu Na Kusifu Kwenyewe… Kuimba Wimbo Wa Kusifu Ni Tendo La Kufungua MDOMO Na Kutoa Sauti
Naona Kuanzia Leo Hadi Mwisho Wa Mwaka Huu 2013; Wale Wote Ambao Walipotea Kwa Njia Za Kawaida Na Za Kutatanisha, Wale Ambao Familia, Ndugu Na
USIIGIZE WALA USIWADANGANYE WATU KWAMBA UNA UWEZO MKUBWA WA KIFEDHA/ UMEBARIKIWA MALI NA VITU ILHALI UNAWAPIGA MIZINGA NA VIBOMU KUPITIA MBEGU NA SADAKA ZA AJABU
“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”
“I like your Christ, but not your Christianity.” – Gandhi Christ vs Christianity
Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa
Mafundisho yaliyomo
Shuhuda zilizotolewa
Wasomaji wafutiliaji
Miaka kwenye huduma