Karibu tovuti yetu

Yesu ni Bwana

Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.

Kuhusu Yesu ni Bwana

Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.

Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.

Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.

Mada muhimu

Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano  ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.

Mafundisho yetu

Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..

Biblia chanzo cha maarifa

Kuna zile MESEJI ZA MIZAHA kwenye MITANDAO zinazosema, “Shetani akikuona unashika BIBLIA anaumwa na kichwa, akikuona unafungua na kuanza kusoma ANACHANGANYIKIWA NA KUZIMIA. Jitahidi kila

Read More »

Kauli za wakiristo

Kati ya kauli wanazotumia Wakristo wengi ni “SHETANI AMEJIINUA mambo yakaharibika nk” lakini Biblia inasema ‘SHETANI YUKO CHINI YA MIGUU YETU’…AKIJIINUA, ANAKUINUA WEWE ZAIDI. Kawaulize

Read More »

Mdomo uumba

“Tatizo sio giza. Tatizo ni mdomo wako. Acha kukaa kimya. Acha kuzungumza kuhusu giza na madhara yake. Sema kama Mungu; NA IWE NURU. Na itakuwa.

Read More »

HEKIMA KUHUSU PESA

  Mambo ya kuepuka http://www.dignited.com/wp-content/uploads/2015/10/3824486278_7df8d71fe3_b-1024×679.jpg 1. Kufanya biashara na mtu ambaye hatoi zaka. “Kama anamuibia Mungu nina uhakika kuniibia mimi ni kitendo cha kugusa tu…

Read More »

Kuwa Mkweli

“Ukiuzika uongo utaoza na utasahaulika milele … Lakini ukiuzika Ukweli, ni sawa na kujaribu kuzika mbegu isiyoharibika. Siku moja utachomoza nje toka ulikouficha na utaharibu

Read More »

Salamu nyingine kutoka Mwanza

Upako Unaweza Kukaa Kwenye Kitu Chochote Chenye Umbo Linaloeleweka [Physical Structure]… Unaweza Kukaa: -Kwenye MIFUPA YA NABII ALIYEKUFA ELISHA Kiasi Cha Kuweza Kufufua Maiti -Kwenye

Read More »
Kwa sasa

Mafundisho Mapya

Majanga Kanisani

“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”

TUJIFUNZE KWA MAMA KUKU!

Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa

956

Mafundisho yaliyomo

26

Shuhuda zilizotolewa

3,000

Wasomaji wafutiliaji

8

Miaka kwenye huduma