Karibu tovuti yetu

Yesu ni Bwana

Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.

Kuhusu Yesu ni Bwana

Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.

Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.

Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.

Mada muhimu

Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano  ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.

Mafundisho yetu

Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..

Wokovu hapa Duniani

“Si misumari iliyomshikilia Yesu Kristo msalabani bali UPENDO wake mkuu kwa mtenda dhambi mimi na mtenda dhambi wewe tupate WOKOVU hapa duniani sasa na kisha

Read More »

Mungu Anashangaa

Mungu akiangalia hapa duniani, anaona vituko, anawaona wanae (tulionunuliwa kwa damu ya thamani ya Yesu) tunaishi maisha chini ya kiwango. Anashangaa kwanini hatuna tofauti na

Read More »

USISAHAU

“Mungu Hajakuruhusu UTENDE DHAMBI Ila HATAINGILIA UAMUZI WAKO UKIAMUA KUTENDA DHAMBI… Vivyo Hivyo, Mungu Hapendi UENDE JEHANAMU Lakini HATAKUZUIA KWENDA HUKO Endapo Hautachukua Uamuzi Wa

Read More »

VYOTE UNAVYOVIONA

“Vyote Unavyoviona Leo VILIKUWEMO NDANI YA ADAMU Japo Adamu Hakupata Nafasi Kuviona… Ndani ya Adamu Ndiko Walikokuwa WANADAMU WOTE Ambao Wamekuja KUBUNI, KUTENGENEZA NA KUFANYA

Read More »

HATARI

“Ukikosa Mbinguni Hautakosa Kuzimu” (Ufunuo 20:15)   “Kama Hauishi Maisha Ya Utakaso, Umechagua Ya Dhambi” (Ufunuo 22:11-16)   “Kama Haujilindi Na Dhambi Ni Wazi Hujazaliwa

Read More »

Natabiri

Naona Kuanzia Leo Hadi Mwisho Wa Mwaka Huu 2013; Wale Wote Ambao Walipotea Kwa Njia Za Kawaida Na Za Kutatanisha, Wale Ambao Familia, Ndugu Na

Read More »
Kwa sasa

Mafundisho Mapya

Majanga Kanisani

“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”

TUJIFUNZE KWA MAMA KUKU!

Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa

956

Mafundisho yaliyomo

26

Shuhuda zilizotolewa

3,000

Wasomaji wafutiliaji

8

Miaka kwenye huduma