Karibu tovuti yetu

Yesu ni Bwana

Kwenye Tovuti hii utajifunza mambo mbali mbali ya Kikristo yatakayo kusaidia kukua ki Imani,Kiroho na kimwili. Nina ahidi utobaki kama ulivyo,Ufanye wakati huu uwe wa Mabadiliko ya kweli.Asante kwa kutuamini na kuzidi kuwa nasi.

Kuhusu Yesu ni Bwana

Dickson Cornel Kabigumila ni mwalimu wa Neno la Mungu. Amekuwa akifundisha katika mashule, vyuo, makanisa na fellowship za Kikristo.

Amekuwa akifundisha katika ibada, semina na makongamano mbalimbali ya kiroho kwa takribani miaka 8 sasa.

Alimpokea Yesu kama Bwana na mwokozi binafsi wa maisha yake mwaka 2003 na kujazwa na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu sawa na isemavyo Matendo ya Mitume 10:38.

Mada muhimu

Hapa utajifunza mada muhimu zote zitakazokufanya wewe kukua katika mazingira ya shuleni,chuo, kazini na hata kwenye mahusiano  ya Ndoa kati yako na mwenzi wako.

Mafundisho yetu

Lengo kuu la Yesu ni Bwana ni kuwa na mafundisho muhimu ya kikristo yatakayokufanya kuwa kama kusudi la Mungu alivyokukusudia wewe uwe..

Neno La Mungu

Kama NENO LA MUNGU halitendi kazi kwako itakuwa ni kwa sababu mojawapo kati ya hizi; 1.Hauna uhusiano na ushirika wa dhati na Mungu ila unataka

Read More »

Imani,muda,majira

“Kwenye Ulimwengu Wa Mwili, Majira (Misimu) Inaamuliwa Na Muda; Lakini Kwenye Ulimwengu Wa Roho, Imani Inaweza Kubadili Msimu Hata Kama Muda Wake Katika Ulimwengu Wa

Read More »

Unakubalije kuwa mgonjwa

“Kama unaamini jina lako limeandikwa kwenye kitabu cha uzima, na haujawahi kufika mbinguni na kukagua lipo au halipo, UMEAMINI KWA NENO LA MUNGU, Kwanini usiamini

Read More »

hivi utakua mwaminifu?

Hivi utakuwa mwaminifu hata kama ukikutana na traffic na unaendesha gari huku umesahau leseni home, traffic anataka sh 2000 tu Rushwa akuachie au utamwambia mwende

Read More »

Mungu wa Mataifa

“Mungu yuko kwenye program ya kuijaza mbingu kwa watu wa kila taifa, kila kabila, kila rangi, wasomi na wasio na elimu, matajiri na masikini… Jitahidi

Read More »

Kanuni muhimu..

Kati ya KANUNI muhimu za MAISHA YA IMANI ni kukubali kuwa kama MTOTO MDOGO. Tofauti na hapo UTAZIKOSA BARAKA, FAIDA NA UPENDELEO unaotoka kwenye UFALME

Read More »
Kwa sasa

Mafundisho Mapya

Majanga Kanisani

“MAJANGA KANISANI NA KUJISAHAU YA KWAMBA YESU ANAWEZA KURUDI SIKU YOYOTE NA MUDA WOWOTE NA CHANGAMOTO YA KUKUMBATIA UDHEHEBU NA UDINI HUKU KIROHO CHAKO KIMEKUFA”

TUJIFUNZE KWA MAMA KUKU!

Hivi karibuni nimesoma kitabu chenye jina ‘Prayer made practical’ kilichoandikwa na Fredrick Pelser. Miongoni mwa mengi niliyojifunza kupitia kwa mwandishi huyo ni kutafakari ukuu wa

956

Mafundisho yaliyomo

26

Shuhuda zilizotolewa

3,000

Wasomaji wafutiliaji

8

Miaka kwenye huduma